Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Kisw 222:Mbinu Za Lugha Katika Kiswahili Question Paper

Kisw 222:Mbinu Za Lugha Katika Kiswahili 

Course:Education

Institution: Kenya Methodist University question papers

Exam Year:2014



CHUO KIKUU CHA KIMETHODISTI, KENYA

MTIHANI WA MWISHO WA TREMESTA YA TATU, 2014

(MASOMO YA LIKIZO)
KITIVO : ELIMU NA SAYANSI YA JAMII
IDARA : ELIMU
KODI : KISW 222
ANWANI : MBINU ZA LUGHA KATIKA KISWAHILI
MUDA : SAA MBILI




Maagizo:

Jibu maswali yoyote matatu

Swali La Kwanza

Eleza vipengele vinne vinavyohusishwa katika mchakato wa mawasiliano.

(al. 8)

Fafanua sifa za mawanda yafuatayo ya mawasiliano:

Mawasiliano kisababisho.

(al. 4)

Mawasiliano shawishi.

(al. 4)

Mawasiliano makavu

(al. 4)

Swali La Pili

Tathmini umuhimu wa uakifishaji katika matamshi.

(al. 10)

Eleza matumizi ya alama hizi kwa kuzitolea mifano katika sentensi. (al. 10)
Nukta mbili
Alama ya kinyota
Alama za mnukuu
Alama ya maachwa
Kikomo

Swali La Tatu

Jadili hatua zinazotumika katika kujiandaa kwa kazi yoyote ya utunzi wa Insha.

(al. 10)

Onyesha jinsi unavyoweza kuwaelekeza wanafunzi kuandika barua rasmi.

(al. 10)

Swali La Nne
Jadili taratibu anazoweza kufuata mwalimu kufundisha ufahamu. (al. 20)

Swali La Tano

Eleza kwa kutolea mifano aina mbili kuu za uakifishaji.

(al. 8)

Fafanua miundo mitatu ya tanbihi katika maandishi.

(al. 6)

Eleza kauli tatu zinazoongoza uandishi wa marejeleo.

(al. 6)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers