Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Edk 101: Introduction To Kiswahili Literature  Question Paper

Edk 101: Introduction To Kiswahili Literature  

Course:Bachelor Of Education

Institution: Rongo University question papers

Exam Year:2016



ANSWER QUESTION ONE AND ANY OTHER TWO QUESTIONS

SWALI LA KWANZA.

a) Eleza dhana ya fasihi ya kiswahili. (alama 4)
b) Onyesha tofauti zozote nne kuu zilizopo kati ya fasihi simulizi na fasihi andishi. (alama 4)
c) Taja dhima ya fasihi katika jamii. (alama 4)
d) Eleza mwingiano wa taaluma hizi na fasihi.
i) Saikolojia
ii)Falsafa (alama 4)
e) Kwa kurejelea vitabu ulivyosoma, tofautisha kati ya mhusika duara na mhusika bapa. (alama 4)
f) Eleza jukumu la mhakiki katika kazi ya fasihi. (alama 4)
g) Kwa kutoa mifano, tofautisha katibya fani na maudhui katika kazi ya fasihi. (alama 6)

SWALI LA PILI

Katika tamthiliabya kilio cha haki kuna vilio kadha na kila kilio kina maana yake. Fafanua kauli hii. (alama 20)

SWALI LA TATU

Jadili swali la uchafuzi wa mazingira kwa kurejelea mashairi mbalimbali kutoka Bara jingine. (alama 20)

SWALI LA NNE

Kuna kiu nyingine katika riwaya kiu. Thibitisha. ( alama 20)

SWALI LA TANO

"Mtu ni utu." Eleza ni namna gani hali hii inajitokeza katika utubora mkulima. (alama 20)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers