Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Edk 103:Historia Ya Kiswahili Question Paper

Edk 103:Historia Ya Kiswahili 

Course:Bachelor Of Education

Institution: Rongo University question papers

Exam Year:2016



Jibu swali LA kwanza na maswali mengine mawili

1.a)Eleza asili ya dhana waswahili(alama 4)
b)Eleza aina tatu ya waswahili kutegemea asili yao(alama 9)
c)Toa sababu tano zilizozuia misafara ya waarabu kupitia Kenya(alama 10)
d)Kwa nini kiunguja kiliteuliwa kama kiswahili sanifu?(alama 4)
e)Taja idhaa za kimagharibi zinazotangaza kiswahili(alama 4)


2.Jadili dhima ya kiswahili (alama 20)

3.Eleza changamoto zinazokabili kamati ya I.L.C (alama 20)

4.Jadili nadharia tatu kuhusu chimbuko la kiswahili (alama 20)

5.Eleza mambo kumi yanayochangia maenezi ya kiswahili kote ulimwenguni katika karne ya 21 (alama 20)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers