Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Kis 222 Kiswahili Morphology Question Paper

Kis 222 Kiswahili Morphology 

Course: Bachelor Of Education

Institution: Rongo University question papers

Exam Year:2017



Jibu swali la kwanza na mengine mawili

1.Tumia mifano mwafaka kutofautisha dhana zifuatazo za lugha
a.Lugha ambishi na lugha tenganishi(al 10)
b.Alomofu na viambishi (al 10)
c.Uambishaji na unyambuaji(10mks)

2.Ukitumia mifano mitano,fafanua njia mbalimblali zinazotumiwa katika uundaji wa Maneno(al 20)

3.Kwa kutumia mifano katika lugha ya kiswahili,dhihirisha maumbo mbalimblali ya mofu(al 20)

4.Kwa kutumia mifano, bainisha dhana ya mofimu kabla ya kuasisiwa kwa sarufi zalishi(al20)

5.Ainisha ngeli za nomino kimofolojia kisha ueleze ubora wa uanishaji huu(al 20)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers