Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Lugha ya 'sheng' imekua lugha ambayo vijana wameipenda saana. Taja sifa saba ya sheng?

      

Lugha ya 'sheng' imekua lugha ambayo vijana wameipenda saana. Taja sifa saba ya sheng?

  

Answers


Cyril
1.sheng huwa na msamiati maahalumu unaotumiwa na vikundi vya watu wenye sifa au tabia fulani.

2.Maneno husika hupewa maana mpya zilizotofauti na zile zilizozoeleka katika lugha nyingine.

3.sheng,aghalabu huwa mchanganyiko wa lugha nyingi.

4.sheng,huwa na ufupisho wa maneno na sentensi.

5.Msamiati wake huwafinyu na chakavu.

6.sheng hujumuisha maneno mapya na Manono ya kawaida.


- Huchanganya lugha hasa kiswahili na kingereza kama utado, anani enjoy.
- Hufupisha maneno kama mtoi, tao, Nai , Kach
- Hutumia misimbo kama keja, ocha, ndae
- Lugha fiche kama ganja (bangi), mapai (polisi)
patmalone254 answered the question on August 29, 2018 at 12:08


Next: Sixteen men working at a rate of nine hours a day can complete a piece of work in 14 days. How many more men working...
Previous: Explain the methodology for disaster risk management

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions