Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Taja aina nane na miundo ya tungo katika mashairi ya arudhi

      

Taja aina nane na miundo ya tungo katika mashairi ya arudhi.

  

Answers


Esther
1. Pindu- asili yake huwa ni aina ya wimbo.Huchukua neno la mwisho katika kila utao na mleo.
2.mandhuma-ni bahari unaofanya ukwapi kutoa wazo na utao kujibu .
3.ngonjera- hutumika kama mfano wa tamthiliaya watu wawili au zaidi wanaojibizana kishairi.
4.ukaraguni-kila ubeti huwa una silabi tofauti na kingine.
5.mtiririko- vina vya kati na vya nje hufananakatika shairi zima.
6.sakarani- bahari kadhaa kuchanganywa katika shairi moja.
7.kikwamba- neno moja kutumika katika kuanzia kila mstari.
8.kikai- asili yake huwa na mizani kumi na miwili.nane katika ukwapi na nane katika utao.
Estherjeps answered the question on September 4, 2018 at 14:26


Next: Describe how a buffer solution is formed
Previous: Mambo gani ambayo mtunzi anapotunga shairi la arudhi.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions