Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Taja aina nane na miundo ya tungo katika mashairi ya arudhi

Taja aina nane na miundo ya tungo katika mashairi ya arudhi.

Answers


Esther
1. Pindu- asili yake huwa ni aina ya wimbo.Huchukua neno la mwisho katika kila utao na mleo.
2.mandhuma-ni bahari unaofanya ukwapi kutoa wazo na utao kujibu .
3.ngonjera- hutumika kama mfano wa tamthiliaya watu wawili au zaidi wanaojibizana kishairi.
4.ukaraguni-kila ubeti huwa una silabi tofauti na kingine.
5.mtiririko- vina vya kati na vya nje hufananakatika shairi zima.
6.sakarani- bahari kadhaa kuchanganywa katika shairi moja.
7.kikwamba- neno moja kutumika katika kuanzia kila mstari.
8.kikai- asili yake huwa na mizani kumi na miwili.nane katika ukwapi na nane katika utao.
Estherjeps answered the question on September 4, 2018 at 14:26

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions