-
Manufaa ya lahaja za Kiswahili.
Date posted:
April 20, 2018
-
Utovu Wa usalama ni nini?
Date posted:
April 20, 2018
-
Jadili mbinu anazotumia Majoka kudumu uongozini.
Date posted:
April 20, 2018
-
Toa mifano ya sauti sighuna ambazo ni vikwamizo
Date posted:
April 19, 2018
-
Bainisha yambwa katika sentensi ifuatayo: Mgeni aliandaliwa chakula kitamu na mwenyeji wake kwa sinia
Date posted:
April 19, 2018
-
Take tamathali za usemi zinazotumika katika methali
Date posted:
April 19, 2018
-
Eleza shinda zinazokumba lugha ya kiswahili katika jamii.
Date posted:
April 18, 2018
-
Tumia Neno Kimya Katika Sentensi Kama: (1)Kielezi (2) Kihisishi
Date posted:
April 18, 2018
-
Eleza sababu za ufaraguzi kwa fasihi simulizi.
Date posted:
April 18, 2018
-
(a) Fafanua fani zifuatazo za fasihi simulizi (i)Ngano za mtanziko (ii) Mazingara (iii)Kifunga nyama (b) Umeombwa kusimulia darasani mughani wa Fumo Liyongo, eleza namna utakavyofanikisha uwasilishaji wako.
Date posted:
April 18, 2018
-
Eleza maana ya neno ulumbi.
Date posted:
April 18, 2018
-
Kwa kutoa mifano yoyote Kumi, fafanua matumizi ya nyimbo katika Tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 13, 2018
-
Taja na ueleze vipera vyovyote vitano vya utanzu wa hadithi
Date posted:
April 13, 2018
-
Eleza maana ya hurafa.
Date posted:
April 12, 2018
-
Taja aina za wahusika katika fasihi simulizi.
Date posted:
April 12, 2018
-
Eleza dhima ya fasihi simulizi.
Date posted:
April 12, 2018
-
Taja Vipengele muhimu Katika uwasilishaji wa fasihi simulizi.
Date posted:
April 12, 2018
-
Eleza maana ya semi
Date posted:
April 11, 2018
-
Eleza maana ya Ngomezi.
Date posted:
April 11, 2018
-
Fafanua aina zozote kumi za migogoro ijitokezayo katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 10, 2018
-
Eleza umuhimu wa hadithi.
Date posted:
April 9, 2018
-
Maudhui ya elimu katika Kidagaa.
Date posted:
April 8, 2018
-
Fafanua miundo yoyote saba ya silabi za Kiswahili
Date posted:
April 7, 2018
-
Jadili maudhui ya tamaa katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 6, 2018
-
Taja na ueleze aina mbili za usikilizaji.
Date posted:
March 29, 2018
-
Uakifishaji ni nini?
Date posted:
March 29, 2018
-
Mawasiliano ni nini?
Date posted:
March 29, 2018
-
Misimu ni nini?
Date posted:
March 27, 2018
-
Tenga viambishi tamati katika neno: kupiganishia
Date posted:
March 26, 2018
-
Je, ni sababu zipi zilizopelekea kusanifishwa kwa kiswahili?
Date posted:
March 23, 2018