Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Kis 221 Kiswahili Morphology Question Paper

Kis 221 Kiswahili Morphology 

Course: Bachelor Of Education

Institution: Rongo University question papers

Exam Year:2018



Jibu swali la kwanza na mengine yoyote mawili

1.a.Kwa kutumia mifano toshelevu,eleza dhana zifuatazo
Mofolojia (ala 4)
Kudhoofika kwa konsonanti(ala6)
b.Eleza aina zozote NNE za vihusishi (ala 8)
c.Fafanua jinsi lugha inaweza kuainishwa kimuundo (ala12)

2.Fafanua aina zozote tano za mofu(ala 20)

3.Huku ukitoa mifano mwafaka,eleza njia tano zozote za uundaji wa Maneno (ala20)

4.Bainisha tofauti iliyopo kati ya viambishi awali na viambishi tamati huku ukitoa mifano mwafaka(ala20)

5.Pambanua matawi makuu ya mofolojia (ala20)






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers