-
Eleza sifa tano za Ridhaa katika chozi la heri.
Date posted:
February 20, 2019
-
(A)Maghani ni nini?
(B)Eleza fani zifuatazo za Maghani.
(i)Vivugo.
(ii)Tondozi.
(iii)Pembezi.
(iv)Rara.
Date posted:
February 19, 2019
-
(A)(i)Nini maana ya ngomezi.
(ii)Fafanua sifa za ngomezi.
(iii)Taja mifano mitatu za ngomezi za kisasa.
Date posted:
February 19, 2019
-
(A)(i)Miviga ni nini?
(ii)Fafanua sifa zozote za Miviga.
Date posted:
February 19, 2019
-
jinsi wanasagamoyo wanavyopambana na uongozi mbaya
Date posted:
February 19, 2019
-
K. Walibora: Kidagaa Kimemwozea
Kwa kurejelea hoja kumi na nne kutoka kwenye riwaya hii, thibitisha kwamba raia wa Tomoko walistahili kuogopa hata kuwa na uoga‘
Date posted:
February 1, 2019
-
Jadili umuhimu wa kinachotafutwa katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.)
Date posted:
February 1, 2019
-
Wasemao husema, atafutaye hachoki."
Haya ni maneno ya msimulizi yanamhusu:
(a) Fafanua muktadha wa dondoo hill.
Date posted:
February 1, 2019
-
Eleza maudhui ya kifo katika riwaya ya chozi la heri?
Date posted:
January 20, 2019
-
Taja umuhimu wa fasihi simulizi?
Date posted:
January 11, 2019
-
Taja umuhimu wa tanakali za sauti?
Date posted:
January 11, 2019
-
Taja maudhui yanayojitokeza katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
Date posted:
January 11, 2019
-
Eleza dhamira ya mwadishi katika hadithi ya Tumbo lisiloshiba?
Date posted:
January 9, 2019
-
Jadili mbinu ya kinaya katika kigogo
Date posted:
January 2, 2019
-
"Sitaacha kula mkate kwa kuchelea kiungulia" eleza muktadha wa dondoo hili katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
January 2, 2019
-
Taja misingi ya upangaji wa irabu za kiswahili.
Date posted:
January 2, 2019
-
Kwa kutoa mifano taja aina tano za methali.
Date posted:
January 1, 2019
-
Changanua sentensi kwa kutumia mtindo wa matawi(Mahubiri ya wakristo yaliyofanyika jana usiku yalisababisha furaha nyingi)
Date posted:
December 26, 2018
-
Eleza kinaya katika Kigogo.
Date posted:
December 19, 2018
-
Tumbo lisiloshiba ni anwani ya kijazanda. Fafanua
Date posted:
December 19, 2018
-
Jadili uozo uliomo katika jamii ya sagamoyo katika tamthilia ya kigogo.
Date posted:
December 18, 2018
-
Taja wahusika wa kigogo na sifa zao.
Date posted:
December 15, 2018
-
Kivumishi in baadhi ya aina za maneno
Date posted:
December 12, 2018
-
Tofautisha kiima na kiarifa
Date posted:
December 6, 2018
-
Sifa za fonimu ni zipi?
Date posted:
December 2, 2018
-
Kamba ya bendera huitwaje kwa kiswahili?
Date posted:
November 16, 2018
-
Eleza maana ya maigizo katika fasihi simulizi.
Date posted:
November 14, 2018
-
Taja vitenzi vyenye asili ya kigeni
Date posted:
November 13, 2018
-
. "Penzi lenu na nani? . . . . Mgomba changaraweni haupandwi ukamea. Potelea mbali mkate wee!"
a) Eleza muktadha wa dondoo hii. (alama 4)
b) Taja naufafanue mbinu mbili za lugha zilizotumiwa katika dondoo hili. (alama 4)
c) Onyesha vile maudhui ya utabaka yanavyo jitokeza katika hadithi nzima. (alama 6)
d) Eleza sifa sita za mzugumzaji kwenye dondoo. (alama 6)
Date posted:
November 12, 2018
-
MAPENZI YA KIFAURONGO
"Mimi sijui hata kidogo ,huwa nayaona mapenzi kama ule mmea wa Kifaurongo.Huwa hai hali ikiwa shwari,na shari ikitokea yanafifia.....
(a) Huku ukirejelea hadihi hii,eleza maswala yanayojitokeza kama mmea wa kifaurongo katika hadithi hii
Date posted:
November 12, 2018