-
Taja vipera vya maigizo vinne
Date posted:
July 24, 2018
-
Jadili tarihi katika fasihi simulizi.
Date posted:
July 24, 2018
-
Nini maana ya shajara?
Date posted:
July 24, 2018
-
Visasili huchangia vipi katika jamii.
Date posted:
July 24, 2018
-
Mighani huwa na umuhimu upi katika jamii.
Date posted:
July 24, 2018
-
Taja sifa zozote tano za mighani.
Date posted:
July 24, 2018
-
Eleza maana ya kidahizo au mchapo.
Date posted:
July 24, 2018
-
Nini sifa za udhubahi.
Date posted:
July 24, 2018
-
Ngano za kichimbakazi au udhubahi ni zipi
Date posted:
July 24, 2018
-
Taja sifa nne za mbazi.
Date posted:
July 24, 2018
-
Eleza maana ya mbazi au Vigano.
Date posted:
July 24, 2018
-
taja sifa tano za soga
Date posted:
July 24, 2018
-
Eleza maana ya soga katika fasihi simulizi
Date posted:
July 24, 2018
-
Fafanua maana ya istiara
Date posted:
July 24, 2018
-
Sifa za ngano za mtanziko
Date posted:
July 24, 2018
-
Ngano za mitanzuko ni nini
Date posted:
July 24, 2018
-
Ngano za usuli huwa na umuhumu upi katika jamii
Date posted:
July 24, 2018
-
Taja sifa nne za ngano za usuli
Date posted:
July 24, 2018
-
Nini maana ya ngano za usuli?
Date posted:
July 24, 2018
-
Ngano za mazimwi huwa na umuhimu upi katika jamii kwa ujumla?
Date posted:
July 24, 2018
-
Orodhesha sifa zozote tano za ngano za mazimwi
Date posted:
July 24, 2018
-
Fafanua maana ya ngano za mazimwi.
Date posted:
July 24, 2018
-
Hurafa huwa na umuhimu gani katika jamii?
Date posted:
July 24, 2018
-
Eleza nini maana ya hurafa katika fasihi simulizi kisha toa sifa zake nne
Date posted:
July 24, 2018
-
Je hekaya zina umuhimu gani katika jamii?
Date posted:
July 24, 2018
-
Eleza maana ya ayari
Date posted:
July 24, 2018
-
Taja sifa tano za hekaya
Date posted:
July 24, 2018
-
Onyesha uhusiano wa kiutoano wa Maneno yafuatayo.
fahali........
Buda.........
Date posted:
July 23, 2018
-
Unda kitenzi kutokana na nomino baridi
Date posted:
July 21, 2018
-
Andika kinyume cha maneno haya
1. Andika
2. Ahota
3. Tundika
Date posted:
July 16, 2018