Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.

Mtihani Wa Master Of Arts Kisw 703: Isimu Jamii (Social Linguistics)I Question Paper

Mtihani Wa Master Of Arts Kisw 703: Isimu Jamii (Social Linguistics)I 

Course:Masters Of Arts In Kiswahili

Institution: Chuka University question papers

Exam Year:2013





CHUKA

UNIVERSITY

UNIVERSITY EXAMINATIONS
EMBU CAMPUS
MTIHANI WA MASTER OF ARTS
KISW 703: ISIMU JAMII (SOCIAL LINGUISTICS)
STREAMS: MA (SCHOOL BASED) SAA: 3 HOURS
SIKU/TAREHE: WEDNESDAY 17/4/2013 8.30 AM – 1030 AM
MAAGIZO:

JIBU SWALI LA KWANZA NA MENGINE MAWILI.

1. (a) Fafanua dhana zifuatazo:-

(i) Isimu jamii [Alama 2]

(ii) Mtagusano wa lugha [Alama 2]

(iii) Jamii lugha [Alama 2]

(iv) Upangaji lugha [Alama 2]

(v) Ulumbi. [Alama 2]

(b) Fafafunua mambo yoyote kumi yanayoathiri matumizi ya lugha katika jamii [Alama 20]

2. Bainisha washikadau kumi katika shughuli ya upangaji lugha na umuhimu wa kuwashirikisha katika shughuli hiyo. [Alama 20]



3. (a) Eleza dhana ya uwili lugha. [Alama 2]

(b) Fafanua athari za uwili lugha katika mawailiano ya kijamii. [Alama 14]

(c) Eleza mambo yoyote manne yanayosababisha uwili lugha. [Alama 14]

4. Eleza tofauti iliyopo kati ya:

(a) Krioli na pijini [Alama 2]

(b) Fafanua sera ya lugha nchini Kenya baada ya kupitishwa kwa katiba mpya (2009). [Alama 14]

(c) Eleza mambo yoyote manne ambayo yanaweza kuchangia kufa kwa lugha.
[Alama 4]

5. Pambanua sifa za sajili ya biashara. [Alama 20]

6. Fafanua matatizo yaliyotinga utekelezaji wa mipango ya lugha nchini Kenya baada ya uhuru (1964). [Alama 20]

---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------







More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers